
>>Swali kutoka kwa mteja wetu wa MKOMBOZI AFRICA GENERAL BUSINES
Habari za Jumapili
Waungwana
MTEJA>>Habari za kazi engineer na team nzima ya Mkombozi Africa natumia mnaendelea vizuri na kazi, Napenda kuuliza, Ivi kuna uhusiano wowote kati Earth wire na Matumiz ya umeme?
Nyumba ninayoish earth wire imeharibika haifanyi kazi yake, matumiz yang ya umeme ni ya kawaida sana, sasa tatizo ni Bill kubwa ya umeme (bill hua inacheza kat ya 15,000 to 36,000/- kwa mwez) kila nikiwauliza tanesco kwanin bill ni kubwa ivi wakat matumiz yangu ni ya kawaida siku zote? Jibu wanalonipa ni kua niangalie earth wire kam inafanya kazi, Swali langu ni Je kuna uhusiano gan kat ya earth wire na bill kubwa ya Umeme?
MTEJA>>Habari za kazi engineer na team nzima ya Mkombozi Africa natumia mnaendelea vizuri na kazi, Napenda kuuliza, Ivi kuna uhusiano wowote kati Earth wire na Matumiz ya umeme?
Nyumba ninayoish earth wire imeharibika haifanyi kazi yake, matumiz yang ya umeme ni ya kawaida sana, sasa tatizo ni Bill kubwa ya umeme (bill hua inacheza kat ya 15,000 to 36,000/- kwa mwez) kila nikiwauliza tanesco kwanin bill ni kubwa ivi wakat matumiz yangu ni ya kawaida siku zote? Jibu wanalonipa ni kua niangalie earth wire kam inafanya kazi, Swali langu ni Je kuna uhusiano gan kat ya earth wire na bill kubwa ya Umeme?
JIBU KUTOKA MKOMBOZI AFRICA
Kazi kubwa ya waya wa earth,ni
kuwezesha EARTH LEAKAGE CIRCUIT BREAKER,ifanye kazi vizuri,kulinda mfumo mzima
wa umeme wa nyumba inapotokea,short circuit (waya wa LIVE na NEUTRAL
kugusana),au mkondo wa umeme badala ya kurudi kupitia waya wa NEUTRAL,unapitia
njia nyingine,( kupita waya wa earth).
Tatizo lako linaweza kusababishwa na vitu vifuatavyo.
1. Kama
mfumo wa umeme wa nyumba(wiring)
hapa namaanisha waya zilizotumika,zitakuwa zimechoka
sana(INSULATION RESISTANCE imepungua) umeme unaweza kuwa unavuja kidogo
kidogo,kati ya waya ya moto LIVE(RED WIRE) na waya ya NEUTRAL(BLACK
WIRE),pamoja na EARTH wire(GREEN WIRE).
Tatizo hili ufumbuzi wake ni kufanya wiring upya na kutumia waya zenye viwango bora,Test ndogo unayoweza kufanya kugundua kama unatatizo hili,ni zima kila kitu kinachotumia umeme hapo nyumbani,kama ni tv,chomoa kabisa plug,kwenye socket,au zima kabisa kwenye socket,baada ya muda wa saa 3 mpaka sita,angalia kama UNIT zako zimepungua kwenye mita
Tatizo hili ufumbuzi wake ni kufanya wiring upya na kutumia waya zenye viwango bora,Test ndogo unayoweza kufanya kugundua kama unatatizo hili,ni zima kila kitu kinachotumia umeme hapo nyumbani,kama ni tv,chomoa kabisa plug,kwenye socket,au zima kabisa kwenye socket,baada ya muda wa saa 3 mpaka sita,angalia kama UNIT zako zimepungua kwenye mita
2. Sababu
ya pili
Inawezekana mita unayotumia ina matatatizo,suala hili
inabidi ulifikishe TANESCO,wao ndio pekee wenye mamlaka ya kufungua MITA
zao,usijaribu kuigusa,unaweza kwenda jela mkuu.
Ushauri,unapokuwa umezima redio,au TV,muda ambao hauvitumii,sanasana wakati wa usiku,hakikisha havipo standby,yaani bado kuna vitaa vyekundu bado vinawaka,vyombo hivi vikiwa standby,umeme unatumika,zima kabisa kwenye socket ukutani,especially wakati wa usiku wa kulala,au unapokuwa umetoka,ZIMA KABISA UKUTANI,
Kwa matatizo niliyoorodhesha hapo juu,kama EARTH wire ipo,EARTH LEAKAGE CIRCUIT BREAKER,ingekuwa ina kata umeme mara kwa mara,Akikisha ELCB(EARTH LEAKAGE CIRCUIT BREAKER) imefungwa na inafanya kazi,kwa usalama wa nyumba,na vifaa vyako vya umeme.
Ushauri,unapokuwa umezima redio,au TV,muda ambao hauvitumii,sanasana wakati wa usiku,hakikisha havipo standby,yaani bado kuna vitaa vyekundu bado vinawaka,vyombo hivi vikiwa standby,umeme unatumika,zima kabisa kwenye socket ukutani,especially wakati wa usiku wa kulala,au unapokuwa umetoka,ZIMA KABISA UKUTANI,
Kwa matatizo niliyoorodhesha hapo juu,kama EARTH wire ipo,EARTH LEAKAGE CIRCUIT BREAKER,ingekuwa ina kata umeme mara kwa mara,Akikisha ELCB(EARTH LEAKAGE CIRCUIT BREAKER) imefungwa na inafanya kazi,kwa usalama wa nyumba,na vifaa vyako vya umeme.
Kwa kuongezea ni muhimu kutest earth leakage
circuit breaker yako.
watu wengi huwa wanachanganya kutofanya kazi kwa earth wire na earth leakage circuit breaker,
ni kwamba kama EARTH LEAKAGE CIRCUIT BREAKER (ELCB) yako ni mbovu umeme unapopita njia ambayo siyo earth wire inaupeleka ardhini ili usikudhuru wewe mtumiaji,na kwa kuwa breaker yako ni mbovu haikati umeme umeme huendelea kutiririka kwenda ardhini mita hukimbia kana kwamba unatumia umeme kwa kasi,kitendo hiki kinakuingiza gharama kubwa.
Namna ya kuijaribu ELCB yako kuona kama inafanya kazi.
Ukiiangalia ELCB yako utaona kitufe kimeandikwa ''test'' ukikibonyeza kama umeme upo EARTH LEAKAGE CIRCUIT BREAKER( ELCB) yako itazima umeme mara moja,endapo haitazima,fanya utaratibu wa kukagua earth rod yako,wakati mwingine materials zinazotumika siyo KOPA halisi na hivyo hupata kutu na kuzuia umeme kwenda ardhini kirahisi.
kama hiyoearth rod ni nzuri,kuna uwezekano wa earth wire yako kuwa imekatika.
ukigundua haijakatika basi zima umeme kwanza nyumba nzima kisha angalia vizuri
shimo la earth rod ,kisha washa umeme na jaribu kubonyeza tena kitufe cha test kwenye ELCB
kama haitazima hapo fanya mpango wa kubadilisha ELCB yako.
ZINGATIA: Umeme ni hatari na unaua. kama huna uhakika na unachokifanya
Tutafute sissi ili tukufanyie kazi yako kwa ubora zaidi.
watu wengi huwa wanachanganya kutofanya kazi kwa earth wire na earth leakage circuit breaker,
ni kwamba kama EARTH LEAKAGE CIRCUIT BREAKER (ELCB) yako ni mbovu umeme unapopita njia ambayo siyo earth wire inaupeleka ardhini ili usikudhuru wewe mtumiaji,na kwa kuwa breaker yako ni mbovu haikati umeme umeme huendelea kutiririka kwenda ardhini mita hukimbia kana kwamba unatumia umeme kwa kasi,kitendo hiki kinakuingiza gharama kubwa.
Namna ya kuijaribu ELCB yako kuona kama inafanya kazi.
Ukiiangalia ELCB yako utaona kitufe kimeandikwa ''test'' ukikibonyeza kama umeme upo EARTH LEAKAGE CIRCUIT BREAKER( ELCB) yako itazima umeme mara moja,endapo haitazima,fanya utaratibu wa kukagua earth rod yako,wakati mwingine materials zinazotumika siyo KOPA halisi na hivyo hupata kutu na kuzuia umeme kwenda ardhini kirahisi.
kama hiyoearth rod ni nzuri,kuna uwezekano wa earth wire yako kuwa imekatika.
ukigundua haijakatika basi zima umeme kwanza nyumba nzima kisha angalia vizuri
shimo la earth rod ,kisha washa umeme na jaribu kubonyeza tena kitufe cha test kwenye ELCB
kama haitazima hapo fanya mpango wa kubadilisha ELCB yako.
ZINGATIA: Umeme ni hatari na unaua. kama huna uhakika na unachokifanya
Tutafute sissi ili tukufanyie kazi yako kwa ubora zaidi.
MKALA IMEANDIKWA NA ENGINEER ALEX LIMAKI TOKA MKOMBOZI AFRICA
0 comments: