
Kama upo TANZANIA na unashida ya kutatuliwa tatizo lolote linalohusu umeme kwenye nyumba unayojenga/uliyojenga tutafute kwa namba +255716762015(ENGINEER) AU 0715751443(TECHNICIAN) na TUTAKUJA SEHEMU ULIPO
Habari
za wakati mpendwa msomaji! tunatumaini umzima wa afya na unaendelea na majukumu
yako ya kila siku.
Katika ujenzi kila kazi/kitu kina muda wake mfano huwezi peleka mabati kwenye eneo unalojenga(site) wakati ndiyo kwanza unachimba msingi hivyo basi hata mfumo wa umeme unamuda wake.
Kumbuka: Lengo la kukuwekea mada hii ni kukupa a,b,c.. wewe unayefikiria kujenga au umeshajenga sasa unataka kufanya marekebisho(maintenance).
Katika ujenzi kila kazi/kitu kina muda wake mfano huwezi peleka mabati kwenye eneo unalojenga(site) wakati ndiyo kwanza unachimba msingi hivyo basi hata mfumo wa umeme unamuda wake.
Kumbuka: Lengo la kukuwekea mada hii ni kukupa a,b,c.. wewe unayefikiria kujenga au umeshajenga sasa unataka kufanya marekebisho(maintenance).
Wakati wa kuanza kuweka mfumo
wa umeme kwenye nyumba.
Baada
ya mchoro wa umeme kukamilika (electrical drawing) unaoonesha jinsi mfumo wa
umeme utakavyopita kwenye nyumba yako, mfumo huu unaanza kuwekwa katika ngazi
zifuatazo;

Mfano wa mchoro wa
umeme
- Kabla ya kupiga lipu(plaster) – Huu ndiyo wakati wa awali kabisa wa kuanza kuweka mfumo wa umeme ambapo mafundi umeme hupitisha mabomba na vibox vya kuwekea switch,socket na distribution box (db).
Jinsi mabomba ya
umeme yanavyopitishwa
- baada ya kufanya umaliziaji(finishing) ya ukuta na kuweka ceiling/gypsum board – wakati huu ndiyo wa mwisho kumalizia kuweka(install) mfumo wa umeme ambapo mafundi umeme wanapitisha nyaya na kupachika taa, switch, socket, nk .
-
switch
Kumbuka:
kama
utaratibu huu hautafuatwa basi itabidi mafundi umeme watindue ili kupitisha
mabomba wakati umeshafanya umaliziaji (finishing).
Kama
upo TANZANIA na unashida ya kutatuliwa tatizo lolote linalohusu
umeme kwenye nyumba unayojenga/uliyojenga tutafute kwa namba +255716762015(ENGINEER) AU 0715751443(TECHNICIAN) na
TUTAKUJA SEHEMU ULIPO
USIPITWE: Endelea kuwa nasi kwa
taarifa hizi na nyingine
0 comments: