Sunday, October 8, 2017

ZIJUE SABABU ZA NYUMBA AU OFFICE KUUNGUA MOTO KWA TATIZO LA UMEME NA SOLUTION ZAKE


Kama upo TANZANIA  na unahitaji vifaa bora vya umeme au unashida ya kutatuliwa tatizo lolote linalohusu umeme kwenye nyumba unayojenga/uliyojenga tutafute kwa namba +255716762015(ENGINEER)  AU 0715751443(TECHNICIAN) na TUTAKUJA SEHEMU ULIPO

Inaandi kwa Eng. Alex limaki


Napenda kuwakaribisha katika majadiliano ya tatizo hili ambalo limekuwa likisababisha majanga makubwa sana hapa kwetu Tanzania kutokana na hasa kuongezeka kwa matumizi ya umeme..

Uchambuzi nitakao utoa hapa ni kwa majibu wa elimu yangu ya umeme pamoja ufahamu wangu juu sheria ya umeme ya kimataifa IEE regulation.

Pia uchambuzi huu utazingatia British Standard of the IET Wiring Regulations.Kwani mfumo yetu mingi ya umemeya Kiafrika hata ule wa Tanzania ume-copy kutoka katika regulation hizi kubwa mbili duniani.

Nasababu ya kutumia IET wiring regulation ambayo ni ya British standard 7671 ni kwa sababu inazungumzia sheria na kanuni za umeme wa kiwango cha 230V kwa single phase.Ambao ndiyo shirika la umeme Tanzania Tanesco linausambaza kwenye makazi ya watu.
 Image result for SABABU YA NYUMBA KUUNGUA KWA TATIZO
MKOMBOZI AFRICA





JE, UNAHITAJI USHAURI,UNATATIZO LOLOTE LINALOHUSU UMEME AU VIFAA VYA UMEME,JE UNAHITAJI VIFAA BORA NA IMARA VYA UMEME KWA AJIRI YA AJIRI YA NYUMBA YAKO AU OFFICE YAKO, JE, UNAHITAJI HUDUMA YA EMERGENCY NYUMBANI AU OFFICE YAKO??

Ungana na watu zaidi 500,000  waliowahi na wengine wanaendelea kufanya kazi na sisi za kununua material na  vifaa bora vya umeme, ushauri bora wa kitaalamu kutoka kwa maengineer wetu,wanafanyiwa kazi mpya, wanafanyiwa ukarabati mzuri wenye kiwango bora kwenye nyumba zao
kutoka kwetu MKOMBOZI AFRICA, kama unahitaji  huduma zetu zilizo bora  kila siku wewe wasiliana nasi kwa  
namba za simu  0716762015 au 0715751443
whatsappp namba 0716762015 au unaweza kututumia  e mail  kwenda e mail yetu inaitwa makinspire8t@gmail.com 
>>VIWANGO VYA KAZI ZETU NI BORA NA VYA UHAKIKA NA KUAMINIKA
>>   Ili kuwa karibu na habari zetu Usisahau  kulike FACEBOOK page yetu inaitwa  MKOMBOZI AFRICA ili kupata habari zote kila wakati tunapoziweka hapa au  click hapa kulike page yetu
1.MAKOSA YANAYO SABABISHWA NA MAFUNDI WIRERING

(a). Overload of power supply wire:Hii husababishwa na line moja ya power supply kutoka katika main switch kutumika kusambaza umeme katika vyumba vingi.

Mfano nyumba nyingi mafundi hutumia 2.5 mm2wire kama supply ya kwenye vyumba,supply hii hutumika kama junction supply ya vyumba vingine.

Wire ya 2.5 mm2 kitaalamu mwisho wake wa kupitisha current kiusalama ni 20Ampere ikitokea current zaidi ya ishirini ikalazimishwa kupita katika waya ya namna hii husababisha waya kupata moto,kama hali hii itakua kubwa sana waya huu huungua.na huenda ukasababisha moto.

 Image result for SABABU YA NYUMBA KUUNGUA KWA TATIZO
(b). Current ya Miniature Circuit Breaker(MCB) kuwa kubwa kuliko current ya wire.
Mfano wire wa 2.5 mm2 tumeona kuwa una uwezo wa kupitisha 20Ampere kiusalama
Hivyo MCB yake inatakiwa iwe ya 20Ampere.

Lakini mafundi wengine kwa kujua au kuto kujua hujikuta wanafunga MCB zenye current kubwa zaidi ya wire husika hali hii huweza kusababisha wire husika kuungua kwani MCB itashindwa kujizima hata pale wire itakapo kuwa imefikia kiwango chake cha mwisho cha kupitisha current.

Matokeo yake wire husika unaweza kuungua na kusababisha moto.
 Image result for SABABU YA NYUMBA KUUNGUA KWA TATIZO


Mfano wa MCBs;-

Viwango sahihi vya MCB na size ya waya zake zinazo shauliwa kimataifa ni hizi hapa.

1.5 mm2 cable - 15 amp maximum circuit breaker.
2.5 mm2 cable - 20 amp maximum circuit breaker.
4 mm2 cable - 25 amp maximum circuit breaker.
6 mm2 cable - 32 amp maximum circuit breaker.
10 mm2 cable - 40 amp maximum circuit breaker.

(c). Loose Connection katika maungio ya waya na kwenye vifaa vinavyo funga waya kwa screw.

Kama fundi hato kaza waya vizuri wakati wa kuziunga pamoja katika viungo vya screw au waya kwa yaya ni chanzo kikubwa cha kutokea kwa cheche ambazo hatimaye huweza kuanzisha moto.

MKOMBOZI AFRICA





JE, UNAHITAJI USHAURI,UNATATIZO LOLOTE LINALOHUSU UMEME AU VIFAA VYA UMEME,JE UNAHITAJI VIFAA BORA NA IMARA VYA UMEME KWA AJIRI YA AJIRI YA NYUMBA YAKO AU OFFICE YAKO, JE, UNAHITAJI HUDUMA YA EMERGENCY NYUMBANI AU OFFICE YAKO??

Ungana na watu zaidi 500,000  waliowahi na wengine wanaendelea kufanya kazi na sisi za kununua material na  vifaa bora vya umeme, ushauri bora wa kitaalamu kutoka kwa maengineer wetu,wanafanyiwa kazi mpya, wanafanyiwa ukarabati mzuri wenye kiwango bora kwenye nyumba zao
kutoka kwetu MKOMBOZI AFRICA, kama unahitaji  huduma zetu zilizo bora  kila siku wewe wasiliana nasi kwa  
namba za simu  0716762015 au 0715751443
whatsappp namba 0716762015 au unaweza kututumia  e mail  kwenda e mail yetu inaitwa makinspire8t@gmail.com 
>>VIWANGO VYA KAZI ZETU NI BORA NA VYA UHAKIKA NA KUAMINIKA
>>   Ili kuwa karibu na habari zetu Usisahau  kulike FACEBOOK page yetu inaitwa  MKOMBOZI AFRICA ili kupata habari zote kila wakati tunapoziweka hapa au  click hapa kulike page yetu

(d). Tabia ya mafundi umeme kukubali kuunga mfumo wa wiriring wa nyumba nyingine dhidi ya nyumba nyingine.

Kwa kawaida Tanesco huingiza umeme katika nyumba kutokana na plan pamoja na mahitaji ya kiwango cha umeme cha nyumba husika(Kilowatt Hour).Hili hujumuisha ukubwa wa size ya waya wa kuingiza umeme katika nyumba yako n.k

Pia waya unao ingiza umeme kutoka katika meter kwenda ndani ya nyumba (tell wire)mara nyingi size yake hutegemea mahitaji ya nyumba husika.

Hivyo nyumba inapo pewa umeme hua imejitosheleza kwa mahitaji yake binafsi kitaalamu.
Inapotokea nyumba nyingine ikaungwa katika mfumo huo wakati plan yake haikuhusishwa wakati wa kufunga umeme katika nyumba ya awali hali hii hupelekea OVERLOAD katika tell wire hali ambayo inaweza kupelekea wire hiyo kuungua na kusababisha moto.


2. MAKOSA YA SHIRIKA LA USAMBAZAJI UMEME

(a). Kuto funga Vilinda circuit wakati wa kufunga meter za umeme.
Shirika la usambazaji umeme ni lazima lihakikishe linaweka vifaa vya kulinda nyumba husika dhidi ya matatizo ya umeme.

Shirika la umeme ni lazima liweke vifaa kama vile CUT-OUT au CRCUIT BREAKER kabla ya umeme haujaingia katika METER ya umeme au ndani ya nyumba.


Ufungaji wa vifaa hivi ulikua unazingatiwa sana zamani(sababu licha ya kuwa kama fuse CUT-OUT zilitumika kukata umeme katika nyumba pale mteja akishindwa kulipa bill ya umeme).

Sasa baada ya kuingia kwa meter za LUKU imeonekana kama CUT-OUT hazina maana tena hivyo suala lake la kutumika kama kifaa cha kulinda mfumo wa umeme kama fuse limepuuziwa.

Kuna baadhi ya nyumba zimefungwa CUT-OUT hadi sasa licha ya kuwa zinatumia LUKU,pia kuna wenye bahati ambao mita zao zina Circuit brekers.
Tazama picha;-

Ufungaji wa umeme usio zingatia vifaa hivi,unaongeza uwezekano mkubwa wa kuto kea short ya umeme yenye madhara.

Kama umeingiziwa umeme katika nyumba yako halafu vifaa nilivyo vitaja hapo juu hujafungiwa hata kimoja(yaani umeme umetoka katika bracket na kuingia katika meter moja kwa moja bila kupitia katika CUT-OUT au CIRCUIT BREAKER )mfumo wako wa umeme si salaama ni haki yako kufungiwa vitu hivyo una haki ya kudai kwa usalama wa nyumba yako.

(b). Miundo mbinu mibovu ya shirika la ugavi wa umeme.

Hali hii hupelekea kutatika katika hovyo kwa umeme,hali hii huweza kuzalisha Electrical Surges ambazo huweza kuleta madhara kwa watumiaji wa umeme.
 Image result for SABABU YA NYUMBA KUUNGUA KWA TATIZO
3. KUCHAKAA KWA WIRiRING ,VIFAA BANDIA NA VIFAA VIBOVU .

(a) Circuit breaker mbovu au feki .kuna circuit breaker nyingine mbovu au bandia ambazo zinashindwa kujizima pale short ikitokea,hakikisha unaijaribu circuit breaker yako mara kwa mara kwa kubonyeza “trip test” kuona kama inafanya kazi au la.

(b) Switch za umeme na extension cables ambazo ni mbovu au hazijakidhi vigezo(bandia)ni chanzo kikubwa cha moto katika makazi yetu.

Vifaa kama vile switch ambazo zimesha haribika vibadilishwe ili kuepuka kutokea kwa moto.
Pia epuka kutumia Extension cables ambazo ni bandia.



(c) Wiriring iliyo chakaa huweza kusababisha kutokea kawa moto kutokana na kulegea kwa viungo vyake ambavyo husababisha chehe,pia wire zake huwa zimeshambuliwa sana na wanyama na wadudu hivyo zinaweza zikagusana na kusababisha short yenye kupelekea moto kutokea.

4. KUFANYA MATENGENEZO YA VIFAA VYA UMEME NA KUVITUMIA BILA KUWA NA UTAALAMU.

Watu wengi wamekuwa wakifanya matengenezo ya vifaa vya umeme angali hawana utaalamu wa umeme.Vifaa vyote vya umeme ni lazima vikatengenezwa na mtu ambaye amesomea kazi hiyo.

Mfano watu wengi hubadilisha fuse katika mifumo mbalimbali ya vifaa vya umeme pale zinapo ungua.Ubadilishaji wa fuse hizi mara nyingi hufanyika kiholela bila kuzingatia kiwango cha current cha fuse husika.

Hali hii husababisha fuse husika kuto kukatika wakati short ikitokea hivyo huweza kupelekea waya kuuungua napengine kusababisha short ya umeme.


5. KUJAZA VIFAA VINAVYO TUMIA UMEME KATIKA EXTENSION CABLE KUZIDI UWEZO WAKE .

Extension cable zimetengenezwa kwa uwezo tofauti tofauti.Hakikisha hauzidishi vifaa vya umeme vinavyo chukua umeme kupitia extension cable yako ili kuepuka uwezekano wa extension cable hiyo kuungua.


SOLUTION
1. 1. Makosa haya makubwa matano yanaweza yakaepukika kwa kila mmoja kufata utaratibu na kanuni za ndani ya nchi na za kimataifa zinazo simamia matumizi bora ya umeme.

2. 2. Walaji wa umeme wawe na utaratibu wa kukagua mifumo yao ya umeme mara kwa mara Kupitia wataalamu wa umeme ili kuthibitisha usalama wa mfumo wake wa umeme katika nyumba yake.

Utaratibu huu wa ukaguzi ni muhimu ambapo mtaalamu atakagua kama wirering system yako imekidhi vigezo;ambapo mtaalamu wa umeme hutakiwa kuchukua vipimo maalumu na kuangalia kama mfumo wako wa umeme umekidhi kanuni na taratibu zinazo simamia mifumo ya umeme..

Baada ya vipimo mtaalamu huyo hutakiwa kuandaa ripoti yenye taarifa ya ukaguzi na kutoa matokeo ya ukaguzi huo wa mfumo wa umeme katika nyumba yako.

Mkaguzi atatoa majibu makuu matatu kulingana na sheria na kanuni za mifumo ya umeme majumbani kuwa mfumo wako wa umeme ni (Salama,Salama kidogo unahitaji marekebisho au si salama).Report hiyo ataisaini na kukukabidhi.

3. Ufungaji wa vifaa vinavyo tambua ishara ya kutokea kwa moto(fire sensor)

1. 4. Kuepuka kufanya matendo ambayo yatapelekea kutokea kwa tatizo la umeme ambalo linaweza kusababisha moto.

5.Kuwa na vifaa vya kuzimia moto katika majumba yetu.

Not always electrical fault will give you a chance to correct your mistake.BE CAREFULLY!
  
NA Engineer Alex Limaki


 Kama upo TANZANIA  na unahitaji vifaa bora vya umeme au unashida ya kutatuliwa tatizo lolote linalohusu umeme kwenye nyumba unayojenga/uliyojenga tutafute kwa namba +255716762015(ENGINEER)  AU 0715751443(TECHNICIAN) na TUTAKUJA SEHEMU ULIPO
MKOMBOZI AFRICA 


OFFICE  ZETU.


Tunapatikana  maeneo  ya  UNGINDONI-KIGAMBONI-DAR  ES  SALAAM (KARIBU NA STENDI YA DARA DARA  ZA  UNGINDONI)  AU  WASILIANA NASI  KWA ANUANI ZIFUATAZO.

SIMU>>0715-751443 (TECHNICIAN).

            0716-762015 (ELECTRICAL ENGINEER).

          E mail>>makinspire8t@gmail.com

 HUDUMA ZETU.
  •  Usambazaji wa vifaa vya umeme vya aina zote. 
  • Electrical installation (wiring za nyumba  za  aina  zote). 
  •  Ukaguzi salama wa Umeme.
  • Uchoraji ramani za wiring ya aina zote za nymba. 
  • Tunatoa  hudama  za ushauri wa kitaalamu kuhusu  umeme kiujumla. 
  • Tunafanya marekebisho/matengezo ya vifaa vya umeme  vya aina zote. 
  • Tunafanya  marekebisho  ya  wiring za zamani au zilizochoka za nyumba  za aina zote. 
  • Tunafunga  CCTV  camera. 
  • Ufungaji wa vifaa vya solar na uuzaji wa vifaa solar 
  • Tunafunga automation system za aina zote.
  •    Ili kuwa karibu na habari zetu Usisahau  kulike FACEBOOK page yetu inaitwa  MKOMBOZI AFRICA ili kupata habari zote kila wakati tunapoziweka hapa au  click hapa kulike page yetu
  • Umalizapo kusoma tafadhari sana unaombwa kushare kwa wengine ili wapate kuomba maana kazi ni muhimu.
                              MKOMBOZI AFRICA        
Suluhisho la elimu ya umeme Tembelea ➦➥ mkombozi africa
 Tahazari⇶ usifanye kazi za umeme kama huna utaaramu nayo, umeme ni hatari
FAHAMU JINSI UMEME UNAVYOWEZA KUUNGUZA NYUMBA AU OFFICE YAKO
Image result for ajali za moto za umeme
Kama upo TANZANIA  na unahitaji vifaa bora vya umeme au unashida ya kutatuliwa tatizo lolote linalohusu umeme kwenye nyumba unayojenga/uliyojenga tutafute kwa namba +255716762015(ENGINEER)  AU 0715751443(TECHNICIAN) na TUTAKUJA SEHEMU ULIPO

Na engineer alex limaki

Ndugu mtanzania mwenzangu

Wiki hii mwanzoni jirani yangu aliunguliwa nyumba na alifanikiwa kuokoa vitu vichache sana. Nyumba iliteketea kabisa kwa moto ulioanza saa tisa usiku na kudhibitiwa saa kumi na moja. 
Moto huo ulianzia kwenye dari na kusambaa paa lote kabla haujadondoka chini na kuanza kuunguza vitu vingine.
Inaonekana moto huu ulisababishwa na hitilafu za umeme. Katika matukio mengi kama haya Tanesco huwa wanalaumiwa lakini kwa hakika huwa hawausiki.
Kwa kawaida Tanesco anawajibika mpaka mwisho wa meter na baada ya hapo wewe mteja ni wajibu wako kuhakikisha usalama wa nyumba yako.

MKOMBOZI AFRICA





JE, UNAHITAJI USHAURI,UNATATIZO LOLOTE LINALOHUSU UMEME AU VIFAA VYA UMEME,JE UNAHITAJI VIFAA BORA NA IMARA VYA UMEME KWA AJIRI YA AJIRI YA NYUMBA YAKO AU OFFICE YAKO, JE, UNAHITAJI HUDUMA YA EMERGENCY NYUMBANI AU OFFICE YAKO??

Ungana na watu zaidi 500,000  waliowahi na wengine wanaendelea kufanya kazi na sisi za kununua material na  vifaa bora vya umeme, ushauri bora wa kitaalamu kutoka kwa maengineer wetu,wanafanyiwa kazi mpya, wanafanyiwa ukarabati mzuri wenye kiwango bora kwenye nyumba zao
kutoka kwetu MKOMBOZI AFRICA, kama unahitaji  huduma zetu zilizo bora  kila siku wewe wasiliana nasi kwa  
namba za simu  0716762015 au 0715751443
whatsappp namba 0716762015 au unaweza kututumia  e mail  kwenda e mail yetu inaitwa makinspire8t@gmail.com 
>>VIWANGO VYA KAZI ZETU NI BORA NA VYA UHAKIKA NA KUAMINIKA
>>   Ili kuwa karibu na habari zetu Usisahau  kulike FACEBOOK page yetu inaitwa  MKOMBOZI AFRICA ili kupata habari zote kila wakati tunapoziweka hapa au  click hapa kulike page yetu
Mambo yanayoweza kuwa kisababishi cha moto ni kama yafuatayo:
1.Kutumia nyaya ndogo zaidi ya uwezo wa swichi.
   -Mafundi wengi huwa hawafanyi mahesabu vizuri , ununua tu nyaya na kufunga kutoka kwenye swichi bila kuangalia uwezo wa swichi unakotoka umeme. Kazi ya swichi hizi ni kulinda nyaya zako pamoja na vifaa vyako visiwake moto pindi umeme ukiwa mkubwa kuliko uwezo wa waya au kifaa chako.Mfano kama switch yako ni ya amp 6 hakikisha waya wako una uwezo wa kubeba angalau amp 8.
 
2. Kutumia swichi zisizozima zenyewe kunapokuwa na tatizo
Kwa kawaida swichi (Breaker ) hupaswa kuzima mara litokeapo tatizo au umeme unaopita unapokuwa mkubwa kulipo uwezo wake. Hii ndio njia ya kuzuia moto usitokee. Inapotokea ukafunga swichi ambazo hazina uwezo wa kufanya hivyo unaweka nyumba na mali yako katika hatari ya kuungua moto.
 
3. Kutumia swichi na nyaya zilizotengenezwa chini ya viwango.
Kwa soko la sasa vifaa feki vimezagaa kila mahali. Unapaswa kuwa makini unaponunua vifaa vya umeme kwa kununua katika maduka unayoyaamini na mtengenezaji unayeamini bidhaa zake. Unaweza kununua nyaya zilionyeshwa kuwa za ubora wa juu na kumbe ni za ubora duni. Na pia kuna swichi nyingi zinazouzwa kwa sasa ni za viwango vya chini sana.
 
4, Mafundi kuweka viungio hafifu (weak joints)
Viungio vya nyaya vinapokuwa legevu (loose) husababisha cheche za moto ambazo ni rahisi kusababisha mlipuko kama ziko karibu na kitu kinachoweza kulipuka, pia huanzisha moto kwa taratibu sana, kwakuwa viungo hivi vinakuwa darini matatizo haya huwa hayaonekani mpaka tatizo linapotokea.

MKOMBOZI AFRICA





JE, UNAHITAJI USHAURI,UNATATIZO LOLOTE LINALOHUSU UMEME AU VIFAA VYA UMEME,JE UNAHITAJI VIFAA BORA NA IMARA VYA UMEME KWA AJIRI YA AJIRI YA NYUMBA YAKO AU OFFICE YAKO, JE, UNAHITAJI HUDUMA YA EMERGENCY NYUMBANI AU OFFICE YAKO??

Ungana na watu zaidi 500,000  waliowahi na wengine wanaendelea kufanya kazi na sisi za kununua material na  vifaa bora vya umeme, ushauri bora wa kitaalamu kutoka kwa maengineer wetu,wanafanyiwa kazi mpya, wanafanyiwa ukarabati mzuri wenye kiwango bora kwenye nyumba zao
kutoka kwetu MKOMBOZI AFRICA, kama unahitaji  huduma zetu zilizo bora  kila siku wewe wasiliana nasi kwa  
namba za simu  0716762015 au 0715751443
whatsappp namba 0716762015 au unaweza kututumia  e mail  kwenda e mail yetu inaitwa makinspire8t@gmail.com 
>>VIWANGO VYA KAZI ZETU NI BORA NA VYA UHAKIKA NA KUAMINIKA
>>   Ili kuwa karibu na habari zetu Usisahau  kulike FACEBOOK page yetu inaitwa  MKOMBOZI AFRICA ili kupata habari zote kila wakati tunapoziweka hapa au  click hapa kulike page yetu
Mambo ya kufanya.
1. Hakikisha mtu unayempa kazi ya kufunga nyaya na vifaa vingine vya umeme anaelewa vyema kazi anayoifanya, azingatie size za nyaya kulingana na matumizi na uwezo wa swichi umeme unakotokea.

2. Swich zote kwenye swich kuu (Main switch) Ziwe na uwezo wa kusima angalau ndani ya nusu sekunde (0.5 of second) kunapotokea tatizo.

3. Tumia vifaa vyenye ubora .

4. Hakikisha viungio vyote vya nyaya vimekazwa na kagua viungio hivyo angalau baada ya week  moja na mara mbili baada ya miezi mitatu mitatu.

Nakutakia jioni njema na weekend njema.
mwandishi Engineer ALEX KIMAKI KUTOKA MKOMBOZI  AFRICA



 Kama upo TANZANIA  na unahitaji vifaa bora vya umeme au unashida ya kutatuliwa tatizo lolote linalohusu umeme kwenye nyumba unayojenga/uliyojenga tutafute kwa namba +255716762015(ENGINEER)  AU 0715751443(TECHNICIAN) na TUTAKUJA SEHEMU ULIPO
MKOMBOZI AFRICA 


OFFICE  ZETU.


Tunapatikana  maeneo  ya  UNGINDONI-KIGAMBONI-DAR  ES  SALAAM (KARIBU NA STENDI YA DARA DARA  ZA  UNGINDONI)  AU  WASILIANA NASI  KWA ANUANI ZIFUATAZO.

SIMU>>0715-751443 (TECHNICIAN).

            0716-762015 (ELECTRICAL ENGINEER).

          E mail>>makinspire8t@gmail.com

 HUDUMA ZETU.
  •  Usambazaji wa vifaa vya umeme vya aina zote. 
  • Electrical installation (wiring za nyumba  za  aina  zote). 
  • Uchoraji ramani za wiring ya aina zote za nymba. 
  • Tunatoa  hudama  za ushauri wa kitaalamu kuhusu  umeme kiujumla. 
  • Tunafanya marekebisho/matengezo ya vifaa vya umeme  vya aina zote. 
  • Tunafanya  marekebisho  ya  wiring za zamani au zilizochoka za nyumba  za aina zote. 
  • Tunafunga  CCTV  camera. 
  • Ufungaji wa vifaa vya solar na uuzaji wa vifaa solar 
  • Tunafunga automation system za aina zote.
  •    Ili kuwa karibu na habari zetu Usisahau  kulike FACEBOOK page yetu inaitwa  MKOMBOZI AFRICA ili kupata habari zote kila wakati tunapoziweka hapa au  click hapa kulike page yetu
  • Umalizapo kusoma tafadhari sana unaombwa kushare kwa wengine ili wapate kuomba maana kazi ni muhimu.
                              MKOMBOZI AFRICA        
Suluhisho la elimu ya umeme Tembelea ➦➥ mkombozi africa
 Tahazari⇶ usifanye kazi za umeme kama huna utaaramu nayo, umeme ni hatari